Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Friday, June 20, 2014

HOTELI YA KISASA JIJINI MBEYA PADZ HOTEL MAENEO YA FOREST MPYA

PADZ HOTEL MBEYA IPO MAENEO YA FOREST MPYA JIRANI NA MAEGESHO YA MALORI YAENDAYO NCHI ZA JIRANI


Mkuu wa mkoa Mbeya Abbas Kandoro akikata utepe kuzindua hotel ya Padz Hotel jijini Mbeya kushoto ni mkurugenzi wa Padz Hotel Patric D. Zambi



Baadhi ya wageni waalikwa wakishuhudia uzinduzi wa hoteli hiyo



Mkuu wa mkoa Mbeya Abbas Kandoro akiweka saini kitabu cha wageni kulia ni mkurugenzi wa hoteli hiyo Patric D. Zambi


PADZ HOTEL MBEYA

No comments: