| Meneja kiwanda cha kampuni ya Bia TBL Mbeya Nicolaus Kanyamala kulia akimkabidhi mfano wa Hundi ya shilingi milion 24 mkandarasi wakisima hicho Bwana Laurendt Ndelwa |
| Mganga mfawidhi kituo cha afya Tunduma Dr Musa Mwakalyelye akisoma taarifa fupi ya kituo hicho |
| Baadhi ya ya wageni toka TBL na wafanyakazi wa kituo hicho cha afya wakishuhudia tukio la kupewa mfano wa hudi kwa mkandarasi atakaejenga kisima hicho |
| Meneja kiwanda cha kampuni ya TBL Bia Mbeya Nicolaus Kanyamala akitia saini kwenye hundi |
| Meneja uhusiano Dorris Malulu akitia saini hundi |
| Meneja kiwanda cha kampuni TBL Bia Mbeya Nicolaus Kanyamala akiongea na baadhi ya maafisa wa mji mdogo Tunduma |
| Mara baada ya makabidhiano ya hundi wafanyakazi wa TBL walitembezwa katika kituo hicho cha afya kujionea wenyewe adha ya maji kituoni hapo |
| Hapa ni mahala pa kunawia kwenye chumba cha kujifungulia watoto Picha na Mbeya yetu |
No comments:
Post a Comment