| Mkuu wa wilaya ya Chunya Deodatus Kinawiro akiweka mkuki na ngao kuwakumbuka mashujaa waliokufa vitani |
| Mwakilishi wa mstahiki meya wa jiji la mbeya akiweka shada lake |
|
Mzee
Ernest Waya akiweka upinde na mshale kuwakumbuka wenzake aliokuanao vitani enzi
hizo...
|
| Chifu Lyoto alikuwepo kuweka mshda kuwakumbuka mashujaa |
| Viongozi mbali mbali wa dini waliwaombea duwa mashujaa wetu |
|
Mzee Ernest Paulo Waya
aliyepigana vita kuu ya pili vya Dunia alikuwepo kuwakumbuka wenzake Picha na Mbeya yetu |
1 comment:
Tunashukuru kwa kutuhabarisha kaka
Post a Comment