Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Thursday, July 11, 2013

MWANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA ATEKWA NYARA . AZIRAI MASAA 15 , AOKOTWA MLIMA NYOKA KILOMETA 15 KUTOKA MBEYA MJINI

 Kijana Emanuel Komba umri wa miaka (15)  kidato cha kwanza Shule ya sekondari Ilomba mkazi wa Mama John kata ya Ilomba Jijini Mbeya ambaye alitekwa  akiwa akiwa anapelekwa uwani
 Emanuel Komba umri wa miaka (15)  kidato cha kwanza Shule ya sekondari Ilomba  akiwa ameshikiliwa
 Majirani wakiwa wanasubiri kusikia kutoka kwa Emanuel Komba umri wa miaka (15)  kidato cha kwanza Shule ya sekondari Ilomba
 Mama mzazi wa Emanuel Komba umri wa miaka (15)  kidato cha kwanza Shule ya sekondari Ilomba Vumilia Komba akiwa anatoka kumtazama mtoto wake
 Vumilia Komba mama mzazi wa mtoto akiwa anataka kuulizwa maswali
 Mama mzazi wa kijana huyo Vumilia Komba  akihojiwa na waandishi wa Habari
 Ndugu jamaa na Marafiki pamoja na mzazi wa mtoto wakiwa wanatoa vitu vya mwanafunzi huyo
 Shati hili lilikuwa limechanwa ambalo ndilo lilitumika kuchanwa  na kumfunga mikono na kumziba mdomo


 Nguo pamoja na Viatu alivyokuwa amevivaa muhanga   wa tukio



Mjomba wa muhanga Kasian Mwezi Komba

Emanuel Komba umri wa miaka (15)  kidato cha kwanza Shule ya sekondari Ilomba akifanya mazoezi baada ya kufikishwa katika hospitali ya Rufaa Mbeya

Emanuel Komba umri wa miaka (15)  kidato cha kwanza Shule ya sekondari Ilomba  akiwa amepata fahamu na kuelezea kisa kizima



Wakiondoka katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya baada ya matibabu 

PICHA NA MBEYA YETU

No comments: