Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Thursday, July 11, 2013

NEWS Alert : MOTO WATEKETEZA NYUMBA YOTE FOREST MPYA MBEYA.. HAKUNA KILICHO OKOLEWA

 Gari la zima moto likielekea eneo la tukio kwa kasi
 
 
 


Kikosi cha zima moto na uokoaji wakiwa katika juhudi za kuzima moto huo
Juhudi zikiendelea lakini  hakuna kilicho okolewa wala majeraha

 Nyumba ikizidi kuteketea
 Upande wa nyuma nao ukizidi kuteketea
 Jengo likiwa limeteketea kabisa
Baadhi ya majirani wakimpokea mama mwenye nyumba  baada ya kuitwa kutoka msibani


 Mashuhuda wakiangalia kwa uchungu mabaki ya jengo

 Moto ukiendelea baada ya gari la zima moto kuishiwa maji

 Moja kati ya Askari wa zima moto wakikata moja ya madirisha ili kuendelea na uzimaji wa moto huo

 Hakuna kilicho okolewa kama unavyo ona mabaki haya


 Mke mmiliki wa nyumba aliye tambuliwa kwa jina la Mama Mkisi akiwa anafarijiwa na majirani katika nyumba hiyo baada ya kupewa hifadhi


PICHA ZOTE NA MBEYA YETU


No comments: