Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Wednesday, February 20, 2013

DR.MARY MWANJELWA MBUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA MBEYA AMBAYE PIA NI M-NEC TAIFA AMETOA ZAIDI YA TANI MOJA YA MIFUKO YA SARUJI NA KUHAMASISISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI KATA YA ITAGANO JIJINI MBEYA




DR.MARY MWANJELWA MBUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA MBEYA AMBAYE PIA NI M-NEC TAIFA AKIWEKA TOFARI KUHAMASISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI ITAGANO 
HAPA MWESHIMIWA DR. MARYA MWANJELWA AKIENDELEA NA UJENZI WA KUPANDISHA UKUTA WA DARASA MOJA

DR.MARY MWANJELWA MBUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA MBEYA AMBAYE PIA NI M-NEC TAIFA  AKIMKABIDHI MIFUKO YA SARUJI ZAIDI YA TANI MOJA MWESHIMIWA DIWANI KATA YA ITAGANO MBWIGA NDALAMA KWA AJILI YA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI ITAGANO
NAE MWESHIMIWA DIWANI WA KATA YA ITAGANO MBWIGA NDALAMA AKIMSHUKURU MWESHIMIWA MBUNGE DR.MARY MWANJELWA KWA KUTOA MSAADA HUO NA PIA KUWAHAMASISHA KATIKA UJENZI WA SHULE HIYO YA SEKONDARI ITAGANO DIWANI HUYO AMESEMA KUWA SHULE HIYO ITAKAPOKAMILIKA ITASAIDIA HATA WATOTO WA VIJIJI JIRANI NA KATA HIYO KUAPATA ELIMU YA SEKONDARI  PIA WAMEMWAHIDI MWESHIMIWA MBUGE KUWA MADARASA MATATU MPAKA KUFIKIA MWEZI WA SITA YATAKUWA YAMEKAMILIKA NA TAYARI KWA KUTUMIWA
HAPA MWESHIMIWA MBUNGE AKIPATA MAELEZO TOKA KWA MWESHIMIWA DIWANI WA KATA YA ITAGANO JINSI UJENZI WA MADARASA HAYO UTAKAVYOKAMILIKA MAPEMA MARA BAADA YA KUKABIDHIWA SARUJI
MWESHIMIWA MBUNGE AKIONGEA NA WAKAZI WA KATA YA ITAGANO MARA BAADA YA KUKABIDI MSAADA HUO WA MIFUKO YA SARUJI
HII NDIYO SHULE YA SEKONDARI ITAGANO AMBAYO MWESHIMIWA DR MARY MWANJELWA AMETOA MSAADA  WA MIFUKO YA SARUJI
MARA TU BAADA YA KUMALIZA UTOAJI WA MSAADA PAMOJA NA UHAMASISHAJI WA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI ITAGANO MWESHIMIWA MBUNGE ALIPATA NAFASI YA KUONGEA NA KINA MAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI KATA YA ITAGANO
PICHA NA MBEYA YETU

No comments: