| Hii ndiyo hali halisi ya bucha katika mnada wa Mbuyuni Chunya wahusika wanaona na wala hawachukui hatua yeyote ile kana kwamba hakuna serikali huko | 
| Hapa nyama tayari ipo buchani kilo sh 2000 mambo yanaendele mnada wa Mbuyuni chunya | 
| Kazi ni kazi nae mnoa visu anaendelea na kazi yake katika mnada huo | 
| Du picha inajieleza yenyewe mambo ya mnadani hayo | 
| Hili ndilo eneo la kupata chakula cha aina mbalimbali katika mnada huo wa Mbuyuni Chunya | 
No comments:
Post a Comment