Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Tuesday, June 5, 2012

Updates: Mkurugenzi Mkuu athibitisha kuwa mpaka sasa watu 13 wamefariki na Majeruhi kufikia 20 , Tunaomba Radhi kwa picha mtakazo ziona

 Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa Dr.Sankey akithibitisha vifo vya Abiria 13 na Majeruhi 20
 Shuhuda aliye kuwa katika Ajali hiyo akitoka kutoa Ushahidi
 Miili ya Marehemu katika Chumba cha kuhifadhia maiti kwa ajili ya Utambuzi 
 Mamia ya watu wamefika Hospitalini hapo Kutambua Miili ya Ndugu zao
 Moja ya Maiti ikiwa Wodini kabla ya kupelekwa chumba cha kuhifadhia Maiti
 Watu Mbali Mbali wakielekea Kutazama Miili ya Marehemu
Watu wanazidi kumiminika kutazama Miili ya Marehemu Hospitalini Hapo

1 comment:

Anonymous said...

mungu awape mwanga wa milele waliotutangulia
na kuwafariji wafiwa
amen.