Kutoka kushoto ni Ahmad Michuzi A.k.a Michuzi Jr ambaye anamiliki Libeneke la Jiachie Anae fuatia ni mzee wa Mji kasoro Bahari Mroki Mroki ambae libeneke lake ni Father Kidevu wa tatu kutoka Kushoto ni Joseph Mwaisango Mwandishi Mkuu wa Mbeya yetu na Mwisho ni John Bukuku anae miliki Libeneke la Full Shangwe
Gari la wanalibeneke Hao Likiwa linaondoka kutoka Mbeya kuelekea Iringa Muda huu, Mbeya yetu Blog pamoja na wadau wote Tunawatakia Safari Njema
*******
Wanalibeneke watatu ambao wanajulikana kama Mapacha watatu, Michuzi Jr, Mroki Mroki na John Bukuku leo mapema wamekutana live na Mbeya yetu Blog kwa muda mchache uliopita.
Katika mazungumzo yao mafupi wanalibeneke hao wakongwe nchini Tanzania wameipongeza Mbeya yetu Blog kwa Jitihada ambazo wameendelea kuzifanya za kupashana habari na kusisitiza ya kuwa tuendelee iendelee na kasi hiyo hiyo na kuleta habari za uhakika.
Timu nzima ya Libeneke la Mbeya yetu Blog tunapenda kuchukua Fursa hii kuwashukuru sana kwa ujio wenu na kuchukua japo Muda kidogo kuonana nasi. Tunawatakia kila laheri na mafanikio mema. Pia safari njema
Timu nzima ya Libeneke la Mbeya yetu Blog tunapenda kuchukua Fursa hii kuwashukuru sana kwa ujio wenu na kuchukua japo Muda kidogo kuonana nasi. Tunawatakia kila laheri na mafanikio mema. Pia safari njema
No comments:
Post a Comment