Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Sunday, March 18, 2012

Live Madereva wa dala dala waziba njia kuzuia wenzao wasiendelee na huduma ili waungane pamojakatika mgomo

 Madereva wakiwa wanamzuia mwenzao asiendelee na safari katika sakata la mgomo muda huu 

 Baadhi ya Dala dala zikiwa zimeziba bara bara mapema muda huu
 Hapa ni maeneo ya Sangu shule ya Sekondari ambapo dala dala zimeziba njia
Kutokana na Mgomo huu umesababisha safari za kutoka Soko Matola kuelekea Uyole kuwa za shida. tutaendelea kuwajulisha endelea kufuatilia 

1 comment:

Anonymous said...

Wazo la kugoma sio baya hasa pale unapofikiria kwamba haki zako zimekiukwa lakini ni haki kuzuia barabara? huku ni kutotambua mamlaka binafsi katika kufanikisha.