Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Sunday, March 18, 2012

WANANCHI WAJITOLEA KUKARABATI BARABARA YA ISONGOLE KWENDA MWAKALEI

Baadhi ya wananchi na wadau mbalimbali wakishirikiana kukarabati barabara ya isongole mwakaleli



Wadau na wananchi wa kata ya isongole wilayani rungwe wajitolea kukarabati barabara ya Isongole kupitia ngumbulu hadi mwakaleli kwa kuwa imesahaurika japo ni muhimu kwa ustawi wa uchumi wa mazao ya mbao, viazi, pareto,na mifugo, vivyo kusababisha mzao hayo kutopitia njia hii na kufanya mbeya  vijijini kunufaika na ushuru wa mazao hayo na wilaya ya Rungwe kukosa mapato kwa kuto ijali barabara hii ya Ngumbulu.


Picha na Ally Kingo

No comments: