Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Friday, November 11, 2011

MAPAMBANO BADO YANAENDELEA KATI YA POLISI NA WAMACHINGA JIJINI MBEYA

Baadhi ya wamachinga wakiwa wamelipindua gari yaina ya toyota na kusimama juu yake huku wakitamka maneno makali kwa polisi na jiji la mbeya kwa kuwanyanyasa katika biashara zao
Moja ya mabango waliyobeba wamachinga hao
Wamachinga wakiwazomea polisi eneo la kabwe
Maduka yote eneo la mwanjelwa mpaka uyole yamefungwa
Moja ya gari lililobinuliwa na kuwekwa katikati ya barabara ya mbeya tunduma
Huu ndiyo mtaa wengi huuita mtaa wa kasisi uliyosababisha vurugu zote kati ya wamachinga na askari wa jiji  
Mmachinga akiwarushia jiwe kwa kutumia manati yaani ni hatari tupu
Askari wa kutuliza fujo naye akiwarushia bomu la machozi wamachinga wanaoandamana
Naye mwandishi wetu  wa mbeya yetu Joseph Mwaisango alionja joto ya jiwe baada ya kutupwa ndani ya gari ya polisi kwa kosa la kupiga picha matukio hayo ya wamachinga na polisi  baadaye aliachiwa na kuendelea na kazi yake
RISASI ZA MOTO NAZO ZIMETUMIKA KATIKA TUKUKIO HILI
MABOMU YA MACHOZI NDIYO USISEME KILA MAHALI YAMETAPAKAA
Mwenye kofia haya mwenye supu haya kila mmoja alikua anaokoa uhai wake
Hayo ndiyo maandishi yaliyoandikwa barabarani

kwa ufupi vurugu zinaendelea  zimefika uyole kati hali si shwali barabara zimefungwa sasa nizaidi ya masaa 10 hakuna usafiri yati mbeya iringa wala mbeya tunduma habari kamili tutawaketea baadaye

4 comments:

Anonymous said...

mbeya kwetu kuna nini jamani?!! polisi acheni kuonea raia wasio na hatia

Lindsay said...

Dah ndo Tanzania yetu bwana

Anonymous said...

Dah ndo Tanzania yetu bhana

Anonymous said...

Polisi wenyewe maskini.Wamekalia kuuwa ndugu zao bila sababu.