| Wanafunzi wa shule ya msingi ya Hamwelo wakiwa kwenye dirisha la mviringo ambalo mwanafunzi akizidiwa hasa mwalimu siku hiyo akiingia na stiki basi anachomoka moja kwamoja nje!!!!!! |
| Inasikitisha sana |
Hapa ni shule ya msingi ya Ntungwa wilayani Mbozi ambako pia hali ni kama hivyo tena sakafuni ndiyo utaratibu wetu wa kawaida. |
| Wakijiandaa kuingia Darasani Picha na Rashidi Mkwinda |
No comments:
Post a Comment