Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Sunday, June 12, 2011

HOLLY FAMILY YA RUVUMA YATWAA UBINGWA WA KOMBE LA MUUNGANO



Waziri wa nchi ofisi ya Rais anayeshughulikia utawala bora Mathias Chikawe (kushoto) akisalimiana na mdau wa soka mkoa wa Iringa Feisal Asas katika viwanja vya shule ya msingi Igowole leo wakati wa fainali ya kombe la Vodacom Muungano Cup
Waziri wa nchi ofisi ya Rais anayeshughulikia utawala bora Mathias Chikawe(katikati) akitambulishwa na mratibu wa kombe la Muungano Mufindi Daud Yasin kwa meneja wa Vodacom mikoa ya kusini Bw Jackson Kiswaga




No comments: