Jamaa wakizichapa kavu kavu kwenye sherehe naniwanakamati hao Na suti zao
1 comment:
Anonymous
said...
Ndg. mwandishi, nafuatilia sana habari katika mtandao wako. Kinachonisikitisha ni tabia yako ya kuandika habari kana kwamba kila mtu alikuwepo kwenye eneo la tukio. Kumbuka kuwa lengo lako ni kuhabarisha hivyo kuna vitu kadhaa lazima uvizingatie uandikapo.
i. nani (wahusika) ii. mahali iii. muda iv. sababu
Vitu hivi vitamsaidia msomaji kuelewa na kupenda kuendelea kutembelea mtandao wako
1 comment:
Ndg. mwandishi, nafuatilia sana habari katika mtandao wako. Kinachonisikitisha ni tabia yako ya kuandika habari kana kwamba kila mtu alikuwepo kwenye eneo la tukio. Kumbuka kuwa lengo lako ni kuhabarisha hivyo kuna vitu kadhaa lazima uvizingatie uandikapo.
i. nani (wahusika)
ii. mahali
iii. muda
iv. sababu
Vitu hivi vitamsaidia msomaji kuelewa na kupenda kuendelea kutembelea mtandao wako
Post a Comment