KWA WAKAZI WALIYOKUWA WAKIISHI MBEYA MNALIKUMBUKA KANISA HILI NA LIPO WAPI?
2 comments:
Anonymous
said...
Duh! Hapo ni karibu kabisa na mitaa yetu. Ni kanisa la Pentecosti. Nyuma yake ni makaburini karibu na Shule ya Sekondari Loleza. Pembeni yake ni nyumba ya mzee wetu maarufu sana mitaa hiyo-MZEE MWEGEKA. Alikuwa na mbwa kibao!! Tumewinda sana ndege mitaa hiyo an tulikuwa natimu yetu inaitwa Makaburini Stars. Nyuma tu ya kanisa kulikuwa na uwanja wa mpira. Siju sikuhizi kupo vipi.
2 comments:
Duh! Hapo ni karibu kabisa na mitaa yetu. Ni kanisa la Pentecosti. Nyuma yake ni makaburini karibu na Shule ya Sekondari Loleza. Pembeni yake ni nyumba ya mzee wetu maarufu sana mitaa hiyo-MZEE MWEGEKA. Alikuwa na mbwa kibao!! Tumewinda sana ndege mitaa hiyo an tulikuwa natimu yetu inaitwa Makaburini Stars. Nyuma tu ya kanisa kulikuwa na uwanja wa mpira. Siju sikuhizi kupo vipi.
Bila shaka hilo ni kanisa la pentecostal maarufu kama Jerusalem Tempol lililopo sokomatola karibu na stand ya daladala mwisho sokomatola.
Post a Comment