Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Thursday, May 26, 2011

MISS UNIVERSE WAPEWA SOMO NA WADHAMINI WAKUU


     Mtaalam wa  mawasiliano na bidhaa wa Vodacom Tanzania  Joel Bendera akifafanua jambo kwenye semina maalumu   ya kampuni hiyo kwa washiriki wa Miss universe,katikati Ofisa huduma na bidhaa wa kampuni hiyo Elihuruma Ngowi,Mtaalamu wa maswala ya habari wa Vodacom Matina Nkurlu,shindano hilo linategemea kufanyika  mwishoni mwa mwezi huu na limedhaminiwa na Vodacom Tanzania.

Ofisa huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania Elihuruma Ngowi akielezea jambo kwa baadhi ya washiriki wa shindano la Miss Universe wakati wa semina ya washiriki hao kujifunza mambo mbalimbali ya kampuni hiyo ,wapili kutoka kushoto Mtaalam wa maswala ya habari Matina Nkurlu,shindano hilo linategemea kufanyika  mwishoni mwa mwezi huu lenye warembo 20 na kudhaminiwa na Vodacom Tanzani
Mshiriki wa shindano la Miss Universe Yacoba Assengu akifafanua jambo mara baada ya kuulizwa na waandishi wa habari katika semina maalum iliyoandaliwa na Vodacom Tanzania kwa washiriki hao kujifunza mambo mbalimbali yanayofanywa na kampuni hiyo, shindano hilo linategemea kufanyika  mwishoni mwa mwezi huu lenye warembo 20 na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania


 Baadhi ya washiriki wa shindalo la Miss Universe wakiwa kwenye semina fupi iliyoandaliwa na Vodacom kwa ajili ya washiriki hao kujifunza mambo mbalimbali ya huduma za kampuni hiyo inazofanya, shindano hilo linategemea kufanyika  mwishoni mwa mwezi huu lenye warembo 20 na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania

1 comment:

Anonymous said...

Ndiyo, labda kwa hivyo ni