Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Thursday, May 26, 2011

Hii ndio weka Jiji la Dar safi kona Fulani

Nilipo fika eneo hili palikua kama hivi nikajua ni Bustani ya Mboga hii

Nilipo sogea zaidi nikakutana na eneo wanatupa mataka taka pembeni ndio hiyo mboga inaoteshwa 

Kamera iliendelea kuvinjali mitaa hiyo na kukuta hali inazidi kuwa mbaya ambapo kulikua kuna mto umejaa taka na pembeni kuna makazi ya watu

Na mwisho Hali ilizidi kuwa mbaya zaidi na Kamera yetu kubainisha kuwa wanainchi waishio kona hizi hawajawezeshwa na Serikali vifaa maalum vya kuhifadhia taka...Na tulipo kutana na wadau wa maeneo hayo walidai kuwa hakuna anaetazama maeneo haya na wameomba watazamwe kwa ukaribu na wamehofia sana magonjwa ya Mlipuko.

No comments: