Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Thursday, May 26, 2011

50 wanusurika baada ya taqwa kupinduka leo iringa


Habari zinzasema watu zaidi ya 50 wamenusurika na mauti na wengi wao kujeruhiwa vibaya baada ya basi la kampuni ya Taqwa kupata ajali mbaya eneo la Iyofi mpakani mwa Iringa na Morogoro leo. Inadai kuwa basi hilo lilikuwa likielekea jijini Dar es Salaam.


Picha na Francis Godwin


Habari kwa hisani ya Issa Michuzi

No comments: