| Baadhi ya Waandishi wa habari na wadau mbalimbali wakiburudika katika sherehe hiyo ya waandishi wa habari June 11 mwaka huu katika ukumbi wa Jm Hotel jijini Mbeya. |
| Emanuel Lengwa katika Mbeya Press akitoa neno katika hafla hiyo. |
| Mwandishi Mkongwe na Rias Mstaafu wa UTPC Mzee Mwakilili akizungumza katika hafla hiyo |
| serebuka time |
| Mzee wa mavitusi Solomon Mwansele mwandishi Uhuru-Mzalendo Mbeya katika ubora wake . |
| Weeeeee Acha tu!!!!!!!!!! Mzee Mwambona katika ubora wake |
| Picha na jamii moja blog |


No comments:
Post a Comment