Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Wednesday, March 4, 2015

MKUU WA MKOA WA MBEYA AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA WAPYA.

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Nyerembe Munasa akizungumza kwa niaba ya wenzake

Wageni waalikwa waliohudhuria hafla fupi ya kuwaapisha wakuu wa Wilaya Wapya iliyofanyika katika viwanja vya ofisi ya mkuu wa Mkoa wa Mbeya jijini hapa.

 Mkuu wa Wilaya ya Kyela Thea Ntara


Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Zainabu Mbussi akiapa mbele ya mkuu wa Mkoa wa Mbeya

Pichani ni wakuu wa Wilaya ya za Mkoa wa mbeya

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Ahmad Nammohe

 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akiwa katika picha ya pamoja na kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa

 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa dini


 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akiwa katka picha ya pamoja na watendaji wa ofisi yake na wakuu wa wilaya wapya  PICHA KWA HISANI YA FAHARI NEWS 

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akiwa katika picha ya pamoja na Waandishi wa habari Mkoa wa Mbeya   

No comments: