Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Wednesday, December 10, 2014

MAADHIMISHO YA MIAKA 53 YA UHURU WA TANZANIA YAFANA MBEYA

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya  Abasi Kandoro akiongea na washiriki wa mchezo  katika maadhimisho ya miaka 53 ya uhuru wa Tanzania katika uwanja wa Kumbukumbu ya sokoine jijini Mbeya timu 


Meya wa jiji la Mbeya Athanasi Kapunga akimshukuru mkuu wa mkoa Mbeya kwa hotuba yake yake aliyoitoa katika siku ya maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru 

Viongozi mbalimbali na wananchi walishikiri katika maadhimisho hayo



Mkuu wa Mkoa wa Mbeya  Abasi Kandoro akisalimiana na viongozi wa timu ya serikali kabla mpambano huo haujaanza 


Mkuu wa Mkoa wa Mbeya  Abasi Kandoro akisalimiana na  wachezaji wa timu ya viongozi wa dini wa madhehebu mbalimbali ya mkoa wa Mbeya


Kikosi cha Viongozi wa Madhehebu ya Dini Mkoani Mbeya


Kikosi cha Viongozi wa serikali Mkoani Mbeya


Viongozi wa Dini waliibuka kidedea kwa ushindi wa goli 4 kwa mbili dhidi ya timu ya viongozi wa serikali


Mkuu wa Mkoa wa Mbeya  Abasi Kandoro akielekea kukagua timu ya mpira wa mikono ya wanawake 









Na Mbeya yetu

No comments: