Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Wednesday, October 8, 2014

HONGERA JIJI KWA KUSIKIA KILIO CHA MTAA WA SOUTH STREET TUMEONA MMEANZA KUCHUKUA HATUA

Hatimae jiji la Mbeya limeanza kutengeneza barabara ya  South Street mtaa huu ulikuwa maarufu sana hapo nyuma na ulijulikana kwa jina la mtaa wa RTC  sasa unaitwa mtaa wa tunakopesha 
Hakika kazi tunaiona hivyo tunawaomba jiji mikamilishe mapema kazi hii ili muendelee na maeneo mengine ya jiji hili letu 
Hizi picha kabla barabara hii haijaanza kutengenezwa

Picha na Mbeya yetu

No comments: