Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Tuesday, October 7, 2014

HALMASHAURI YA JIJI MMELIONA HILI KATA YA FOREST? MAANA HAKUFAI TAKATAKA NA MAJITAKA YANATIRIRIKA MITAANI

Haya ni maeneo ya forest ya zamani jirani na shule ya ST. Franssic au jirani na hoteli ya Grand Palm  kwa ujumla hakufai hizi taka sasa takribani zaidi ya mwezi sasa zipo hapo na zinaendelea kujaa je wahusika mpoo? 


Moja ya walemavu wa akili akiokota chakula eneo hilo 

Ni hatari kwa watoto na kwa wale wenye ulemavu wa akili maana taka hizo ninanuka sana



Kero nyingine  mitaa hiyo hiyo ya forest ni majitaka yanayotiririka toka kwenye nyumba na kuingia mtaani huku wahusika wakipota hapo bila ya kuchukua hatua yeyote  jamani mwabwana afya mpoooo?

Maji taka hayooo yanaendelea na safari ya kuchafua mtaaa 

Safari inaendelea na huku harufu mtaa mzima




Na Mbeya yetu


1 comment:

Anonymous said...

Da! hii hali inatisha, yaani jina lenyewe na uchafu uliopo ni vitu viwili tofauti. Aibu sana jamani uchafu si swala la kulifumbia macho. Kama uko mchafu kwa nje je kwa ndani inakuwaje? tuige mfano wa mkoa wa Moshi au Kilimanjaro na Mwanza. Mtu akikamatwa anatupa taka hovyo 50, 000/= faini nafikili tutakomesha wachafu tu. Hii ni aibu sana jamani halmashauri iajiri watu wa kuzoa taka hizi, tuwape watu ajira ili kukomesha wazururaji mitaani. Ni aibu saaaaana hasa kwa jiji kubwa na linaloeleweka kama Mbeya, mahali kwenyewe "Forest"