Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Saturday, August 23, 2014

NEWS ALERT: MBEYA YETU SAFARINI TUKUYU, KAA MKAO WA 'SURPRISE'

Kikosi kazi cha Tone Multimedia Group ambao ni wamiliki wa mtandao wa Mbeya yetu Blog chini ya Blogs za Mikoa yaani sasa Tumedhamilia kwa nia moja kutembelea Wilaya ya Rungwe - Tukuyu  kutazama fursa mbalimbali ambazo watu wengi hawazifahamu, kutazama shughuli mbalimbali na mambo mengi. 
Safari hii ambayo imeandaliwa na sisi wenyewe itagusa hisia za wengi  na kila mmoja kwa nafasi yake.. Hii ni nafasi yako Mwana Mbeya na unayesoma na upo nje au ndani ya Tanzania Tegemea mengi...
Kaa mkao wa Kujua Mengi usiyo yafahamu Kuhusu Wilaya ya Rungwe -Tukuyu na Maeneo yake.... Hii ni Fursa yako wewe Mtanzania ambaye upo ndani na nje ya Tanzania kujionea mengi.. hii itakuwa ni 'Surprise' kwenu

Picha na Mbeya yetu.

No comments: