Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Sunday, August 31, 2014

MAMIA WAMZIKA MAREHEMU MZEE ADAM LUTUFYO MWAIGOMOLE KIJIJINI KWAKE MWELA KATA YA KANDETE MWAKALELI

Marehemu Mzee Adam Lutufyo Mwaigomole Enzi za Uhai wake 
 Mwili wa Marehemu ukiwa umewasili Kijijini kwake Mwela Tayari kwa Mazishi
Mtumishi wa Mungu akimshukuru Mungu Mara baada ya Mwili wa Marehemu kuwasili
 
Waombolezaji wakiwa Nyumbani kwa Marehemu
 Baadhi ya Wachungaji na Viungozi wa Dini wakiwa katika Msiba huo
 Waombolezaji wakiwa Makaburini
 Mwili wa Marehemu Mwaigomole ukiingizwa kanisani
 Mwili wa Marehemu ukiwa Kanisani kuombewa kwa Mara ya Mwisho na Kupelekwa Katika Maziko
 Wa nne kutoka Kulia aliyevaa kitambaa cha Dhambalau ni Mke wa Marehemu Mwaigomole akiwa na wanafamilia
 Wachungaji wakiwa kanisani
 Waumini wakisindikiza Mwili wa Marehemu kutoka Nje kuelekea makaburini kwa ajili ya Maziko
 Mwili wa Marehemu ukiwa Tayari unatolewa kuelekea Makaburini
 Mwili wa Marehemu ukiwa Tayari kwa ajili ya kuingizwa Kaburini
 Mtumishi wa Mungu akiwa Anatoa neno fupi kabla ya kuanza Mazishi
 Mke wa marehemu wakwanza kushoto aliyekaa akiwa kaburini Kumsindikiza Marehemu mume wake Adam Mwaigomole
Mwili wa Marehemu Adam Mwaigomole ukiwa umeshushwa katika Nyumba yake ya Milele
 Mtumishi wa Mungu akiweka Mchanga katika Kaburi ishara ya kufukia Mwili wa Marehemu na kuendelea na Taratibu za Mazishi.



1 comment:

MASHAKA S.MBUGI said...

Pole kwa wafiwa na ndugu wote wa karibu kwa kuondokewa na mzee wetu,tumwombee kwa mungu ampumzishe mahali pema peponi.