Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Wednesday, August 20, 2014

JE SOUTH STREET HAIPO KATIKA RAMANI YA HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA, HUU NI MTAA MAARUFU.

 Kwanza kibao kimechoka kiasi hiki.. hamkioni jamani
 Mtaa wote Lami isha kwisha kama unavyo onekana
 Madereva si kwamba hawapendi pitisha magari hapa lakini sasa tatizo barabara jamani 
 Hapa sasa panajieleza 
 Wengine wameamua kuweka vipande vya Cement njia ikae sawa 
 Huku Ma defender tuu ndio yanaweza pita .... ina maana jiji hawapiti huku?
 Mashimo huku hatari... Hata gari huwezi kwepesha kabisa kila unapogusa shimo
 Hapa sasa IST, Vitz, na haya magari mengine madogo yanapitaje? 
 Cha kushangaza sasa Hizi ndizo sehemu ambazo watu wanatakiwa kutupa uchafu.... yaani Dust bin
Wadau wa Mbeya na Halmashauri ya Jiji tuongee kidogo hivi kweli hapa mtu akitupa taka, anakuwa anasafisha Jiji ama anaweka kero katika Jiji? 

JE HALMASHAURI YA JIJI HII BARABARA HAIWAHUSU HATA KIDOGO ? AU IMESAHAURIKA TUU!

TOA MAONI YAKO JUU YA HILI...

PICHA NA MBEYA YETU.

No comments: