Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Saturday, July 12, 2014

TUKIO ZIMA KATIKA PICHA: HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA SAFARI YA MWISHO YA EMMANUEL MBUZA





EMMANUEL JOSEPH MBUZA. Mhitimu wa sangu High school(2007), aliewahi kua Mfanyakazi wa Mbeya FM na generation FM, LLB & MBA Tumain university, Kijana mjasiliamali na mpiganaji, Katibu mwenezi wa mbeya mjini, Mkurugenzi wa Sweet fm Radio, Sweet Televission na Action Mart Group of companies (Mzaliwa wa mbeya aliekua anafanya biashara zake jijini Dar es salaam)

Mke wa maarehemu Emmanuel Mbuza akiongozwa kuweka shada la maua katika kaburi la mumewe




Kaka wa marehemu Emmanuel Mbuza, Oscar Mbuza akiongoza ndugu zake kuweka shada la maua katika kaburi la ndugu yake kwenye makaburi ya familia eneo la Kalobe Jijini Mbeya


 
 














 
 

 







Umoja wa Vijana wa CCM wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa marehemu Mbuza ambaye alikuwa ni Katibu Uenezi na Itikadi wa CCM Jiji la Mbeya








 

 






 











 



  



 

Mmoja wa wanafunzi wa shule ya Msingi Umoja akimkabidhi bahasha ya rambirambi mtoto wa marehemu Mbuza, Chriprin Mbuza








Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Sambwee Shitambala akimkabidhi rambirambi kaka wa marehemu Leonard Mbuza.


Mwandishi wa habari na Mwenyekiti mstaafu wa Klabu ya Waandishi wa Habari Christopher Nyenyembe akitoa heshima mbele ya mwili wa Mbuza.












     

Picha zote kwa Hisani ya Mkwinda Blog

1 comment:

Unknown said...

Mungu ailaze mahali pema roho ya marehemu na ampe mapumziko mema milele na milele.Insha Aallah