| Baadhi ya wahitimu wakicheza kwa kufara kuelekea eneo la uwanja washule kupata vyeti vyao |
| Makamu Mwenyekiti wa TCCIA, Julius Kaijage katikati na Mkurugenzi wa Faraja school Benjami Ulimboka Mwakilili wakipokea maandamano ya wahitiwahitimu |
|
| Wahitimu |
| Wageni waalikwa |
| Makamu Mwenyekiti wa TCCIA, Julius Kaijage akiwahutubia wahitimu katika mahafali hiyo |
| Mkurugenzi wa Faraja school Benjami Ulimboka Mwakilili akitoa taarifa fupi ya mafanikio ya shule ya Faraja kwa mgeni rasmi |
| Wahitimu wakisoma risala kwa kwa mgeni rasmi |
| Moja ya wahitimu akipokea cheti toka kwa mgeni rasmi |
| Hawa ni wanafunzi wa shule za msingi mbali mbali wakipokea vyeti vyao vya kuhitimu mafunzo ya awali ya kompyuta katika shule hiyo ya Faraja |
| Moja ya wanafunzi wa shule ya msingi akipokea cheti chake cha kuhitimu mafunzo ya awali ya kompyuta toka kwa mgeni rasmi |
| Pia burudani mbalimbali zilikuwepo kutumbuiza siku hiyo ya mahafali ilikuwa nifuraha tupu |
Picha na Mbeya yetu |
No comments:
Post a Comment