Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Tuesday, March 11, 2014

MAPANGA MAPANGA NA VISU WAHUSIKA HEBU MSAIDIENI HUYU JAMAA SEHEMU YA KUUZIA HIZI BIDHAA ZAKE!

 vitu kama hivi vinatakiwa kuuzwa sehemu maalumu hizo ni silaha angalia alivyoshika jamaa mwenyewe 



Tahadhari kabla ya hatari


Huwa anatabia ya kulikwangua chini huo mshituko wake acha tu

Jamaa huyooo anaendelea na biashara yake maeneo ya Soweto Jijini Mbeya

Huyu jamaa anatishia sana usalama sasa yupo na Biashara ya visu pia na anauza bila wasi wasi  
Akikosa kuuza mapanga sasa anauza na visu

Picha na Mbeya yetu

2 comments:

Anonymous said...

SASA HAOP UJICHANGANYE SIRAHA TAYARI ANAZO MKONONI HAPO SASA HMMMM, ATAKAYE MKASIRISHA AU KUMWIBA,

Anonymous said...

Dah! Hii hatari. Halafu huyu jamaa mzima kweli? Kamanda Msangi ana taarifa zake?