Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Thursday, January 2, 2014

HII KALI MWAKA MPYA NA MAAJABU MAPYA BARABARA HATA MWEZI HAUJAISHA YAANZA KUWEKWA VIRAKA VYA SARUJI JIJINI MBEYA

Barabara kuu ya itokayo katikati ya jiji la Mbeya kwenda Mbalizi kupitia Mabatini Meta imeanza kuharibika mapema toka lami iwekwe takribani mwezi mmoja uliyopita hii ndiyo halisi ya barabara hiyo

kweli hii barabara itamaliza mwei huu?


Wahusika mpoooo








Tayari baadhi ya maeneo ya barabara hiyo mashimo yameanza kuzibwa na tope la saruji



Picha yenyewe inajieleza je hii ni halali?






Matukio yote na Mbeya yetu blog

3 comments:

Anonymous said...

Hiyo ni danganya toto kabisa na uzushi. kweli barabara hata miezi 3 haijamaliza jamani imechakaa kiasi hicho? inaumiza jamani. Halafu malalamiko kwa serikali haifanyi kazi kumbe watu wamekula hela kwa kujenga barabara kiwango cha chini namna hiyo. Sina namba ya magufuli ningemtaarifu hali hiyo. Inasikitisha mno mno.

Geoffrey said...

Huwa haitakiwi kuanza matengenezo ndani ya kipindi kifupi kiasi hicho tangu kuisha matengenezo ya barabara. Nadhani tatizo ni designer wa tabaka la lami

Anonymous said...

Hakika hapa pesa ya mlipa kodi imechezewa! kwa jinsi ninavyoijua barabara hii ni heri wangeacha ilivyokuwa mara ya kwanza (kabla ya lami mpya) maana sahz ndo itakuwa kama ya changarawe kabisa. DUUUUH, AISEE MAJANGA!