Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Monday, December 16, 2013

HATIMAE WAENDESHA BODABODA JIJI LA MBEYA WAFANYA UCHAGUZI NA KUPATA VIONGOZI WAPYA

Baadhi ya waendesha Bodaboda jiji la Mbeya wakiwa wamekusanyika kujiandaa kuchagua viongozi watakaowaongoza uchaguzi huo ulifanyika katika kiwanja cha Luanda Nzovwe jijini Mbeya


Hapa wamejipanga tayari kwa kupiga kura

Kura zikihesabiwa



Moja ya  walezi wa waendesha Bodaboda jijini Mbeya Nwaka Mwakisu akisimamia zoezi la uhesabuji wa kura


Mgeni rasmi katika uchaguzi huo Nwaka Mwakisu na ambae pia ni mlezi wa chama  cha waendesha Bodaboda jiji la Mbeya akitangaza matokeo na kuwaasa vijana hao kuacha migogoro ndani ya chama hicho badala yake wafanye kazi kwa kushirikiana na kuepuka kutumika katika vurugu na migomo isiyo na manufaa kwao jamani tuijenge Mbeya yetu


Hawa ndiyo viongozi waliyochaguliwa kutoka kushoto ni Mwenyekiti Vicent Mwashoma, anaefuatia makamu mwenyekiti  Zuberi Simony, katibu Msumba Mdesa, mtunza fedha Batromeo Mwangeni. 


Mwenyekiti Vicent Mwashoma akiwashukuru wanachama wenzake kwa kumchagua

Picha ya pamoja




Mwenyekiti Vicent Mwashoma  akibebwa juu kwa juu na wanachama wenzake mara baada ya kushinda uchaguzi huo

Na Mbeya yetu

No comments: