| Mkurugenzi wa kituo cha ROCK FM 96.6 Allen Ezekia akiwakabidhi zawadi watoto wa kituo cha tumaini |
| Mkurugenzi wa kituo cha Tumaini Elias Katani akipokea zawadi kwa niaba ya watoto wa kituo chake toka kwa mkurugenzi wa ROCK FM ya jijini Mbeya |
| Watoto wa kituo cha tumaini wakishukuru kwa zawadi walizopewa na kituo cha ROCK FM |
| Lawena Nsonda amewatka wadau mbali mbali kujitokeza kuwasaidia watoto yatima kwani ni jukumu letu sote katika kuwalea |
| Mkurugenzi wa kituo cha Tumaini Elias Katani akishukuru kwaniaba ya watoto kwa zawadi walizopatiwa na Rock Fm 96.6 |
| Mratibu Elimu kituo hicho Obadia Mbilinyi akisoma taarifa fupi ya kituo hicho cha Tumaini |
| Mara baada ya kutoka toa zawadi kwa watoto yatima sherehe iliendelea katika viwanja vya TIA Mbeya |
| Moja ya watangazaji wa Rock Fm Harubu Kabwe akimkaribisha mkurugenzi wake aje apate keki katika sherehe hiyo |
| BABA MZAZI LAWENA NSONDA akimlisha keki mkurugenzi wa ROCK FM 96.9 Allen Ezekia katika sherehe ya kutimia miaka 3 sherehe zilizofanyka katika uwanja wa chuo cha TIA Mbeya |
| Mgeni rasmi katika sherehe hiyo BABA MZAZI LAWENA NSONDA akiwahutubia wananchi waliohudhuria sherehe za kutimia miaka 3 ya kituo cha ROCK FM 96.9 |
| Burudani mbali mbali zilikuwepo katika sherehe hiyo ya kutimiza miaka 3 ya ROCK FM 96.9 |
| Dachi Nationale Band wakitumbuiza katika sherehe ya kutimiza miaka 3 ya ROCK FM 96.9 |
| Watangazaji wa kituo cha Radio ROCK FM 96.9 wakiwa katika picha ya pamoja Na Mbeya yetu |
No comments:
Post a Comment