Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Friday, July 5, 2013

SAFARI LAGER WEZESHWA KUFANYIKA KESHO VIWANJA VYA RUANDA NZOVWE CCM JIJINI MBEYA KESHO.


Meneja wa Bia ya Safari (Brand Manager) kutoka Kampuni ya TBL Ndugu Oscar Sherukindo akizungumza na waandishi wa Habari juu ya Program ya Safari Lager Wezeshwa itakayo Fanyika Kesho katika viwanja vya Ruanda Nzovwe CCM jijini Mbeya kuanzia saa Nne Asubuhi Ambapo wajasiliamali Kumi Watapewa Vitendea kazi kwa ajili ya kukuza Biashara zao.
Mratibu wa Safari Lager Wezeshwa Peter Zacharia
Meneja Mauzo wa Kanda ya Mbeya Raymond Degera
Mratibu wa Safari Lager Wezeshwa Peter Zacharia(Mwenye Kofia) akifafanua Jambo kwa waandishi wa Habari ambapo amesema Zaidi ya Milioni Mia Nne zimetumika kununulia vitendea kazi kwa wajasiliamali Kumi kwa misimu miwili, msimu huu zawadi kubwa kuliko zote ni Trekta dogo la Kulimia likiwa na vifaa vyake (Powertiller aina ya Kobota)

Meneja wa Bia ya Safari (Brand Manager) kutoka Kampuni ya TBL Ndugu Oscar Sherukindo amesema Mradi huo umeanza mwaka 2011  kwa nia ya kuwawezesha wajasiliamali wadogo wadogo kwa kuwapatia mafunzo na vitendea kazi
Wanamuziki wa Bendi ya AFrica Minofu inayo tarajia kutumbuiza katika viwanja vya Ruanda Nzovwe

Meneja Mauzo wa Kanda ya Mbeya Raymond Degera (wa kwanza kulia ) akiwasihi wananchi kufika kwa wingi katika viwanja vya Ruanda Nzovwe kushuhudia shughuli mbalimbali zitakazo fanyika  



Afisa Habari wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Machela akifafanua jambo
 Kiongozi wa Bendi ya AFrica Minofu wa kwanza kutoka kushoto akihimiza juu ya burudani watakayo itoa kesho









 Baadhi ya waandishi wakifuatilia kwa makini kikao kifupi cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL)

 Meneja wa Mikuyu Royal Hotel Juma Mikongo (wa kwanza kulia) akiwa katika picha ya pamoja  na viongozi wa TBL 

Meneja Mauzo wa Kanda ya Mbeya Raymond Degera akiwa  na waandishi wa Habari
PICHA ZOTE NA MBEYA YETU



No comments: