Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Wednesday, July 31, 2013

MZEE WA MIAKA 120 AFARIKI DUNIA MBEYA VIJIJINI

Marehemu Amos Timoth Nundwe. enzi za uhai wake

Alizaliwa mwaka 1893 na kufariki dunia Tarehe 13, Julai 2013 akiwa na umri wa miaka 120 ameacha watoto 7 na wajukuu 52 pamoja na Vitukuu wa kutosha.

amefariki dunia kutokana na matatizo ya uzee kwa ajili ya umri mkubwa, alikuwa akiishi Lunji kijiji cha Ihombe Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya.

Familia na ukoo wa Nundwe unasikitika kwa kuondokewa na mpendwa wao kwa kuwa kazi yake Mola haina makosa Jina la Bwana libarikiwe, Bwana alitoa na Bwana ametwaa.......Ameni.

No comments: