Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Thursday, March 14, 2013

TANGAZO TANGAZO TANGAZO TANGAZO KWA NAFASI ZA MASOMO CHUO KIKUU TEOFILO KISANJI


CHUO KIKUU TEOFILO KISANJI


“Mafunzo kwa maisha Bora”


KURUGENZI YA ELIMU ANUAI

TANGAZO KWA WAOMBAJI WAPYA NGAZI YA STASHAHADA
(ORDINARY DIPLOMA) MWAKA WA MASOMO 2013/2014.

MAOMBI YANAKARIBISHWA KATIKA FANI ZIFUATAZO:
Stashahada katika mafunzo ya Ualimu yaani (Ordinary Diploma  Certificate in Education)
Stashahada katika mafunzo ya Fedha na Uhasibu yaani (Ordinary Diploma in Accounting and Finance)
Stashahada katika mafunzo ya Kazi na Maendeleo ya Jamii yaani (Ordinary Diploma  in Social work and   Community Development)                                                   
Stashahada katika mafunzo ya TEKNOHAMA yaani (Ordinary Diploma in Information Technology)
Stashahada katika Mafunzo ya  Sheria yaani (Ordinary Diploma  in Law)
Stashahada katika Mafunzo ya Utawala na Biashara (Ordinary Diploma in Business Administration)
Stashahada katika mafunzo Manaejimenti ya Rasilimali Watu (Ordinary Diploma  in Hunan Resources Management)
Stashahada katika mafunzo ya Menejimenti ya Utalii  na Huduma za Hotel (Ordinary Diploma  in Hospitality and Tourism)
Stashahada katika mafunzo ya Utawala wa Biashara (Communication)
in Business Administration )
Stashahada katika mafunzo ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano kwa Umma (Ordinary Diploma  in Journalism and    
Mass  Communication)
Stashahada katika Mafunzo ya Menejimenti ya Ununuzi na Takwimu (Ordinary Diploma  in Procurement Logistic and      
Management)
Stashahada katika Mafunzo ya Ukutubi na Sayansi ya Habari ( Ordinary Diploma in Library and Information Science)   
Stashahada katika Mafunzo ya Theolojia ( Ordinary Diploma   in Theology)
               

SIFA KWA WAOMBAJI
1. Mwombaji awe amehitimu kidato cha sita  na awe na ufaulu  usiopungua principal pass moja na subsidiary moja, au
2. Mwombaji awe na cheti katika fani anayoomba
Mafunzo yote yataendeshwa kwa muda wa miaka miwili isipokua mafunzo ya Theolojia ambayo yateendeshwa kwa miaka mitatu     

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 30/6/2013, saa kumi jioni.
Fomu zinapatikana Chuoni, eneo la Kitalu T, Soweto, Mbeya mjini. Vilevile  mwombaji anaweza kuzipata kutoka katika
tovuti ya chuo, Tovuti: www.teku.ac.tz
Anuani:        Chuo Kikuu Teofilo Kisanji
                     S.L.P 1104
                    Mbeya – TANZANIA

“KARIBU CHUO KIKUU TEOFILO KISANJI KWA MAFUNZO YENYE UBORA”

CHUO KIKUU TEOFILO KISANJI



“Mafunzo kwa maisha Bora”

KURUGENZI YA ELIMU ANUAI

TANGAZO KWA WAOMBAJI WAPYA NGAZI YA CHETI
(BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE) MWAKA WA MASOMO 2013/2014.

MAOMBI YANAKARIBISHWA KATIKA FANI ZIFUATAZO:
Cheti  katika mafunzo ya Ualimu yaani (Basic Technician Certificate in Education)
Cheti katika mafunzo ya Fedha na Uhasibu yaani (Basic Technician Certificate in Accounting and Finance)
Cheti katika amafunzo ya Kazi na Maendeleo ya Jamii yaani (Basic Technician Certificate in Social work and   Community Development)                                                    
Cheti  katika mafunzo ya Tekinologia TEKNOHAMA (Basic Technician Certificate in Information Technology)
Cheti  katika Mafunzo ya  Sheria yaani (Basic Technician Certificate in Law)
Cheti  katika mafunzo Manaejimenti ya rasilimali Watu (Basic Technician Certificate in Hunan Resources Management)
Cheti  katika mafunzo ya Menejimenti ya Utalii  na Huduma za Hotel (Basic Technician Certificate in Hospitality and Tourism)
Cheti  katika mafunzo ya Utawala wa Biashara (Basic Technician Certificate in Business Administration)
Cheti katika mafunzo ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano kwa Umma (Basic Technician Certificate in Journalism and    
Mass  Communication)
Cheti  katika Mafunzo ya Menejimenti ya Ununuzi na Takwimu (Basic Technician Certificate in Procurement Logistic
 and Management)
Stashahada katika Mafunzo ya Ukutubi na Sayansi ya Habari ( Basic Technician Certificate in Library and Information Science)   
Cheti  katika Mafunzo ya Theolojia ( Basic Technician Certificate in Theology)
              
SIFA KWA WAOMBAJI WA NGAZI YA CHETI
Mwombaji awe amehitimu kidato cha nne na awe na ufaulu wa daraja la nne lenye alama D (NNE) katika fani zote   isipokuwa fani ya Ualimu ambayo mwombaji awe na daraja la nne lenye Alana 27 katika mtihani wa kidato cha nne.

Mafunzo yote yataendeshwa kwa muda wa mwaka mmoja isipokuwa mafunzo ya Ualimu yatakayoendeshwa kwa muda wa miaka miwili (2)

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 30/6/2013, saa kumi jioni.
Fomu zinapatikana Chuoni, eneo la Kitalu T, Soweto, Mbeya mjini. Vilevile  mwombaji anaweza kuzipata kutoka katika
tovuti ya chuo, Tovuti: www.teku.ac.tz
Anuani:        Chuo Kikuu Teofilo Kisanji
                     S.L.P 1104
                    Mbeya – TANZANIA

“KARIBU CHUO KIKUU TEOFILO KISANJI KWA MAFUNZO YENYE UBORA”


No comments: