Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Friday, January 4, 2013

KANDORO AZINDUA CHANJO YA ROTAVIRUS NA NIMONIA KATIKA KITUO CHA AFYA RUANDA MBEYA

Mkuu wa mkoa Mbeya Abass Kandoro akikata utepe kuzindua chanjo ya mpya ya Rotavitus na Nimonia katika kituo cha afya Ruannda jijini Mbeya
Mkuu wa mkoa Mbeya Abasi Kandoro akimwekeamatone moja ya watoto waliyofika katika uzinduzi huo
Mkuu wa mkoa Mbeya akihutubia wananchi waliyofika katika uzinduzi wa chanjo hiyo
Mratibu wa chanjo mkoa wa Mbeya Japhet Mihanye akisoma risala kwa mgeni rasmi
Mstahiki meya wa jiji la Mbeya Atanath Kapunga akimshukuru mgeni rasmi kwa uzinduzi wa chanjo hiyo
Baadhi ya wakina  mama waliyobahatika kupata chanjo katika uzinduzi  leo
Uzinduzi wa leo unaongeza harakati za serikali za kupambana na adui maradhi hususani maradhi yanayozuilika kwa chanjo na hiyo kufikia malengo ya milenia namba 4 ambayo ni kupunguza vifo vitokanavyo na maradhi kuharisha na nimonia lengo hili linatakiwa liwe limefikiwa ifikapo mwaka 2015

picha na mbeya yetu

No comments: