| Mmoja ya wahandisi wa ujenzi wa uwanja huo wa songwe akimwelezea waziri wa uchukuzi Dk Mwakyembe akimwelezea hatuza za mwisho za ujenzi wa maegesho ya ndege kubwa | 
| Mkuu wa majeshi Tanzani Jenerali Mwamnyange akisalimiana na kuagana na RPC wa Mbeya Diwani katika kiwanja hicho cha songwe kabla ya kuanza kwa ziara ya waziri wa uchukuzi Dk Mwakyembe | 
| Jenerali Mwamnyange akiondoka uwanjani hapo kurejea Dsm alikuwepo Mbeya kwa mapumziko Mafupi | 
| Huu ni mnara wa kuongozea ndege katika kiwanja hicho cha Songwe Mbeya | 
| Mwongoza ndege mwandamizi John Chambo akimwezea waziri Mwakyembe jinsi wananvyofanya kazi ya kuongoza ndege katika mnara huo | 
| Mkuu wa kitengo cha hali ya hewa Issa Hamad akimwelezea waziri mwakyembe juu ya shughuli zoa za upimaji wa hali ya hewa uwanjani hapo na mkoa kwa ujumla kuwa | 
| Hili ndilo eneo la maegesho ya ndege kubwa aina ya boing 737 ambalo mwishoni mwamwezi huu wa kwanza litakamilika | 
| Hili ni eneo la kutua ndege na kurukia barabara hiyo ya ndege inaurefu wa zaidi ya kilometa 3.5 km | 
| Hii ni sura ya mbele ya uwanja huo wa songwe Mbeya | 
| Hili ni jengo la kikosi cha zimamoto uwanjani hapo | 
| Picha na Mbeya yetu | 
No comments:
Post a Comment