Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Monday, November 5, 2012

HALI YA NISHATI YA MAFUTA JIJI LA MBEYA NI MBAYA

Hali ya nishati ya mafuta ya magari na mafuta ya taa jijini mbeya sasa ni mbaya sana kwani ni kituo kimoja tu kinachuza nishati hiyo ya mafuta jijini mbeya  cha ORYX kilichopo mama john
Baadhi ya wananchi wa jijini mbeya wakiwa wamekesha kwenye kituo hicho toka jana mpaka sasa bado hawajapa mafuta kutokana na kuwa nafoleni kubwa ya magari na pikipiki huku wenye madumu wakiwa wamepanga foleni kuweza kubahatisha mafuta 
Baadhi ya vijana wamepata ajira isiyo rasmi kwa kulangua mafuta aina ya petrol shilingi 5000 kwa litamoja nao wakiwa wengi wao wamechoka na kulala kituoni hapo kusubiri kupata mafuta na kwenda kuyauza kwa bei ya juu


Bei halisi ya mafuta ni hiyo lakini sasa walanguzi bei imepanda kwa aina ya mafuta ya petrol lita moja kwa shilingi 5000 mpaka sh 6000 kwa lita moja
Hiki ndiyo kituo peke kinachouza nishati ya mafuta jijini Mbeya

No comments: