![]() |
Hii ndiyo hali halisi ya madaraja hayo |
![]() |
Picha yenyewe inajieleza Halmashauri ya jiji la Mbeya wasaidieni wakazi wa Airport kata ya Iyela |
![]() |
Mwandishi wa Mbeya yetu Joseph Mwaisango akipita katika daraja imara la bawa la ndege wakazi wengi wa iyela tayari wameshalipa jina eneo hila wanaliita bawa la ndege |
No comments:
Post a Comment