Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Saturday, August 25, 2012

TCRA WAENDELEA KUTOA ELIMU YA MABADILIKO YA KUTOKA KUTUMIA ANALOGI NA KUAHAMIA DIGITAL KWA WAKAZI WA MBEYA NA VITONGIJI VYAKE

Moja ya watumishi wa mamlaka ya mawasiliano nyanda za juu kusini Asajile akiwaelimisha wananchi wa eneo la kabwe kituo cha mabasi yaendayo maeneo mbali mbali ya jiji la Mbeya na wilayani umuhimu wa kutumia vifaa vya digital na kuachana na analogia

Wananchi wakiwa makini kusililiza mafunzo mafupi ya mabadiliko ya analogia na  kuingia digital


Hapa wananchi wakinyoosha vidole ili wajibu maswali yanayoulizwa na maafisa wa mamlaka ya mawasiliano kuwa tayari wameshaelea mabadiliko yanayokuja

Moja ya wananchi waliyojibu vizuri maswali eneo hilo akipokea zawadi ya simu  kwa ujumla zawadi mbali mbali zilitole eneo hilo 



No comments: