Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Monday, August 27, 2012

LIVEE WACHINA WAVAMIA KIWANJA NA KUANZA KUCHIMBA KIFUSI JIJINI MBEYA

Moja ya kijiko kilichosimamishwa na wananchi wenye hasira kali kata ya ilomba jirani ya machinjio ya wanyama eneo hilo hujulikana sana kama veta limevamiwa na wachina wajenzi wa barabara za jijini mbeya kwakuchimba kifusi na kukiweka katika barabara wanazozijenga 

Hii ndiyo hali halisi wanayoifanya wachina hao




wachina hao walikuwa hawataki kabisa kubigwa picha na mwandishi wetu ila wenyewe walikuwa wanampiga picha mwandishi wetu Joseph Mwaisango

Polisi wakiwasikiliza  na kuwatuliza wananchi waeneo hilo la ilomba

Hivi ni viatu vya jamaa anayemiliki kiwanja hicho picha yake mtaiona kesho maana ilikuwa hatari sana habari kamili tutawaletea kesho baada ya kufwatilia kwa wahusika wa Ardhi jiji la mbeya

Huyu bwana ni kiongozi wa skauti Mbeya ndiyo inadaiwa kuwa ndiyo chanzo cha yote mpaka tunatoka eneo la tukio hali ilikuwa shwali kabisa baada ya wanausalama fufika na kuondaka na wahusika habari zote za tukiozima la leo tutawaletea hapo kesho baada kupata ufafanuzi mzima juu ya swala hili

No comments: