Wananchi wa Jiji la Mbeya wakiwa wana haha kupata Mafuta ya taa katika kituo cha mafuta 
 Baadhi ya Njinga zikiwa zimepaki eneo ambalo ndilo pekee Mafuta yanapatikana jinini Mbeya
 Mdau akiwa anatazama vema kama anazo pesa za kununua Mafuta hayo baada ya kushtuka kuambiwa kuwa bei imepanda mpaka kufikia 3500
 Kila mtu anataka kupata mafuta kwa muda katika eneo hilo Mpaka wenye mapipa nao wamo 
 Wadau wakitazama kwa umakini jinsi wanavyo wekewa mafuta muda huuu 
 Kibao hiki kinaonesha Bei ya mafuta ya awali 
Hiki ndicho kituo cha mafuta ambacho kipo Ng'ambo ya Idara ya maji Jijini Mbeya 









No comments:
Post a Comment