
Mgeni Rasmi Kaimu katibu tawala wa wilaya Mh. George Geoffrey Annaniah akifungua mashindano ya kumtafuta mrembo wa mkoa wa Mbeya Mkapa Hall muda huu


Wananchi Mbali mbali waliofika kushuhudia shindano hilo

Mambo yameanza huku warembo wakijimwaga kwa kucheza



Bado warembo wanaendelea kutoa show ya nguvu usiku huu...
Endelea kufuatilia tukio zima ambalo linaletwa kwenu na Tone media Live Group wenye mtandao huu
No comments:
Post a Comment