Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Friday, June 8, 2012

KICHANGA CHATUPWA KWENYE DAMPO LA TAKATAKA MTAA WA SOWETO JIRANI NA SOKO LA CCM

 Kichanga kikiwa kimetupwa katika Dampo hilo la Takataka Soweto Mbeya

Baadhi ya akina Mama na watu wengine waliofika eneo hilo ktazama kichanga hicho ambapo Mama  Mzazi hajafahamika. Hata hivyo Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi.
Picha na Allt Kingo Mbeya Yetu

No comments: