Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Tanzania Augustino Nanyaro akiangalia gwalide la wahitimu hao wa mafunzo ya uongozi |
| Kikosi cha Bendera kikipita mbele ya Kamishna wa magereza |
| Wakipita kwa ukakamafu mbele ya kamishana wa magereza |
| Kikosi cha kareti kikionyesha umahili wake mbele ya kamishna wa magereza |
| Kamishna akikagua gwaride la wahitimu wa kozi ya uongozi |
| Wahitimu wa kozi ya uongozi wakimunyesha kamishna wao juu ya kucheza ngoma ya muganda Asksri 746 wa Jeshi la Magereza nchini wamehitimu mafunzo ya uongozi daraja la kwanza (NCO`S) kozi namba 19 katika chuo cha Kiwira- Rungwe mkoani Mbeya ambapo kamishna Jenerali wa jeshi la magereza Tanzania Augustino Nanyaro aliwatunuku vyeo koplo na baadhi yao vyeo vya sajenti |
No comments:
Post a Comment