Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Monday, May 21, 2012

WASICHANA WA SHULE YA SEKONDARI MANYUNYU NJOMBE WAFAIDIKA NA SEMINA YA KUTUMIA KOPYUTA NA UMUHIMU WA MFUMO WA DIGITAL

Wasichana wa shule ya sekondari ya wasichana manyunyu mkoani njombe wakimsikiliza mwana sayansi wa masafa
Peter Kihogo kutoka mamlaka ya mawasiliano kanda ya nyanda za juu kusini

Mwanasayansi wa masafa Peter Kihogo akiendelea kuwaelimisha wasichana wa shule ya sekondari manyunyu juu ya umuhimu wa mawasiliano na faida zake katika masomo na shughuli mbalimbali za kila siku katika jamii

Katibu muhtasi mamlaka ya mawasiliano kanda ya nyanda za juu kusini Frida Msese akipeana ushauri na wasichana wa shule ya sekondari manyunyu

Wanafuzi wakiwa makini kumsikiliza mwanasayansi wa masafa


Mkuu wa shule ya ya sekondari manyunyu  Adolphina Katembo akiwashukuru waedesha semina ya mawasiliano na habari jamii toka mamalaka ya mawasiliano kanda ya nyada za juu kusini kuichagua shule yao kuwa mojawapo ya shule katika kupewa semina hiyo ya mawasiliano duniani

No comments: