Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Friday, May 18, 2012

SEMINA YA SIKU YA MAWASILIANO NA HABARI JAMII DUNIANI YAFANA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA MANYUNYU MKOANI NJOMBE

 Viongozi wa TCRA ,Walimu na wanafunzi wakielekea ukumbini katika sherehe hizo 

Wadau Mbali mbali wakisikiliza wakati Semina hiyo inaendelea jana
Kaimu Meneja wa mawasiliano Kanda Ndugu Asajile akiwafundisha wanafunzi umuhimu wa vifaa mbali mbali vya Digital
 Wanafunzi wa Shule ya Manyunyu Mkoani Njombe wakimsikiliza kwa makini Mgeni Rasmi 

 Wanafunzi wa Shule ya Manyunyu Mkoani Njombe wakionesha vipaji vyao katika sherehe hizo 


 Shule ya Sekondari ya wasichana Manyunyu wakikabidhiwa Tv ya kisasa yenye inch 32 LCD


Baadhi ya zawadi walizo kabithiwa shule ya wasichana ya Manyunyu Mkoani Njombe 

Mgeni Rasmi akimkabidhi zawadi mwanafunzi aliye jibu maswali vizuri Hidaya Mapunda aliyepata Laptop ya kisasa 

 Mwanafunzi Hidaya Mapunda akiwaonesha wenzake Laptop yake 
 Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo akiendelea kukabidhi zawadi mbali mbali Shuleni hapo 
 Wanafunzi walio Hudhuria katika Sherehe hizo za Siku ya mawasiliano 
 Mgeni Rasmi akipanda Mti shuleni hapo mara baada ya kumaliza shughuli zote 

Habari kamili itawajia siku ya Sherehe zenyewe 
Picha zote na Joseph Mwaisango wa Mbeya yetu Blog





No comments: