| Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya John Mwakipesile akiwapa pole familia na ndugu wa marehemu mzee Malakasuka kabla ya kuanza kuaga mwili wa marehemu |
| Mke mkubwa wa marehemu Asobenye Malakasuka akiuaga mwili wa marehemu mumewe nyumbani kwao uzunguni mbeya |
| Mheshimiwa diwani kata ya sisimba akiongozana na mheshimiwa mbunge wa mbeya mjini joseph mbilinyi wakipita kutoa heshima za mwisho |
| Watoto wa marehemu malakasuka wakitoa heshima za mwisho kwa baba yao mpendwa |
| Mwili wa marehemu Asobenye Malakasuka ukishushwa kaburini |
| Dada mkubwa wa marehemu akiweka shada la maua |
| Mke mkubwa wa marehemu akiweka shada la maua |
| Hawa ni watoto na wajukuu wa marehemu mzee Malakasuka |
No comments:
Post a Comment