Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Saturday, March 3, 2012

MAZISHI YA MAREHEMU ASOBENYE .K. MALAKASUKA JIJINI MBEYA

Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya John Mwakipesile akiwapa pole familia na ndugu wa marehemu mzee Malakasuka kabla ya kuanza kuaga mwili wa marehemu
Mke mkubwa wa  marehemu Asobenye Malakasuka akiuaga mwili wa marehemu mumewe  nyumbani kwao uzunguni mbeya
Mheshimiwa diwani kata ya sisimba akiongozana na mheshimiwa mbunge wa mbeya mjini joseph mbilinyi wakipita kutoa heshima  za mwisho 
Watoto wa marehemu malakasuka wakitoa heshima za mwisho kwa baba yao mpendwa

Mwili wa marehemu Asobenye Malakasuka ukishushwa kaburini
Dada mkubwa wa marehemu akiweka shada la maua
Mke  mkubwa wa marehemu akiweka shada la maua
Hawa ni watoto na wajukuu wa marehemu mzee Malakasuka

No comments: