Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Wednesday, February 8, 2012

WANAFUNZI MBEYA WALALAMIKA KUTOKANA NA KERO YA MICHANGO MASHULENI KWAO

Habari na Mwandishi wetu.
Wananchi mkoani Mbeya wametakiwa kushirikiana na kikundi cha MJATA kwaajili ya kupinga na kukemea upigaji nondo na mauahji kwa watoto wa dogo

Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa MJATA mkoani mbeya Bwana Shayo Soja Masoko alipo kuwa akihutubia katika mkutano wa kupinga uvitendo vya koikatili vinavyo jitokeza katika jamiii mbali mbali

Aidha Shayo ameongeza kuwa chama cha mjata ni chombo kinacho tumika kusuluhisha migogoro mbali mbali inayo jitokeza katika jamiii hivyo wananchi wanatakiwa kupinga masuala yote ya ukatili wa watoto wadogo wasio kuwa na hatia.

Naye Aizaki Jaksoni kutoka katika ofisi ya mwana shelia mkuu mkoani mbeya amewataka wanawake kuaaacha tabia ya kutotupa watoto wao.

No comments: